Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 38:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Makao yangu yameongolewa kwangu; kama hema la muchungaji; kama, mufumaji nimefika kwa mwisho wa kizingo cha maisha yangu; Mungu amekata nyuzi zinazokishika; hata mbele ya mwisho wa siku amenikomesha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 38:12
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anachanua kama maua, kisha ananyauka. Anakimbia kama kivuli na kutoweka.


Nimevunjika moyo, siku zangu zimekwisha, kaburi langu liko tayari.


Wanadamu wanaangamia kwa saa chache tu; wanaangamia milele bila kuacha hata alama.


angependezwa kunipondaponda, angenyoosha mukono wake juu yangu na kuniua!


kwa sababu ya kasirani na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.


Hata kama wakubwa wananifanyia shauri baya, mimi mutumishi wako nitafikiri juu ya masharti yako.


Yawe asifiwe, maana amenionyesha wema wake wa ajabu, nilipozungukwa katika muji unaoshambuliwa.


Muchana kutwa ninapata mapigo, kila asubui nimepata mateso.


Unatowesha mbali watu kama ndoto! Wanadamu ni kama majani yanayochipuka asubui:


Sayuni umeachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kibanda cha mulinzi katika shamba la maboga, kama muji uliozungukwa kwa vita.


Hautakaliwa tena na watu hata kidogo, watu hawataishi humo katika vizazi vyote. Hakuna Mwarabu atakayesimamisha hema yake humo, wala muchungaji atakayechunga nyama wake humo.


Kwa maana, tunajua kwamba hema hii tunayoishi ndani yake hapa katika dunia, maana yake mwili wetu, itakapobomolewa, Mungu atatupatia makao mengine mbinguni. Nayo ni nyumba aliyoijenga yeye mwenyewe na inayodumu milele.


Hakika kwa wakati wowote tungali tunaishi katika makao haya ya dunia, tunaugua kwa kulemewa. Si kwa sababu tunataka kuondolewa mwili wa dunia, lakini tunataka kuvaa mwili wa mbinguni, kusudi uzima wa milele upate kubadilisha miili yetu inayokuwa ya kufa.


Utavikunjakunja kama kanzu, navyo vitabadilishwa kama nguo. Lakini wewe utabaki sawasawa, na maisha yako hayatakuwa na mwisho.”


Ninyi hamujui namna gani maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Kwa maana ninyi ni kama muvuke unaoonekana kwa wakati kidogo, kisha unatoweka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ