Isaya 38:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Wakati ule, Hezekia aligonjwa sana karibu kufa. Halafu nabii Isaya mwana wa Amozi akamwendea, akamwambia: Yawe anasema hivi: Panga mambo yako sawasawa katika nyumba yako kwa sababu utakufa, hautapona. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |