Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 37:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Kwa vile umefanya mipango juu yangu na nimesikia majivuno yako, nitatia ndoana yangu ndani ya pua yako, na lijamu yangu ndani ya kinywa chako. Nitakurudisha katika njia ileile uliyokuja ndani yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 37:29
26 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hakuna mutu yeyote mukali anayesubutu kumushitua. Nani, basi anayeweza kusimama mbele yangu?


Usikuwe mupumbafu kama farasi au nyumbu, ambao lazima wafungwe kamba ndani ya kinywa, kama sivyo hawatakukaribia.”


Mungu yuko katika muji huo, nao hauwezi kutikiswa; Mungu ataupatia musaada kila asubui.


Usisahau makelele ya waadui zako; na fujo ya siku zote ya wapinzani wako.


Waadui zako wamepiga kelele la ushindi katika hekalu lako! Wamesimika humo bendera zao za ushindi!


Ee Mungu, usikae kimya! Usinyamaze, ee Mungu, wala usitulie!


Wakati Yawe atakapomaliza kazi zake zote kwenye mulima Sayuni na katika Yerusalema, atamwazibu mufalme wa Asuria, kwa sababu ya majivuno na kiburi chake.


Pumzi yake ni kama mafuriko ya muto ambao maji yake yanafika mpaka kwenye shingo. Anakuja kupepeta mataifa kwa lungo ya maangamizi, kuwafunga lijamu na kuwapeleka wasikotaka.


Zaidi ya hayo, munafikiri nimekuja bila amri ya Yawe kwa kuishambulia na kuiangamiza inchi hii? Yawe ndiye aliyeniambia: ‘Ushambulie inchi hii na kuiangamiza!’ ”


Halafu yule jemadari wa Asuria aliwaambia: “Mumwambie Hezekia kwamba mufalme mukubwa wa Asuria anamwuliza: Unategemea nini kwa kukazana kwako?


“Mumwambie Hezekia mufalme wa Yuda: Usikubali Mungu wako unayemutegemea akudanganye kwa kukuahidi kwamba Yerusalema hautatekwa na mufalme wa Asuria.


Atarudi kwa njia ileile aliyokuja nayo wala hataingia katika muji huu. Kweli, kwa ajili ya heshima yangu mimi na kwa ajili ya mutumishi wangu Daudi, nitaulinda na kuuokoa muji huu. –Ni ujumbe wa Yawe.


Sikia, nitamufanya mufalme asikie uvumi, halafu atarudi katika inchi yake, na kule nitamufanya auawe kwa upanga.”


Basi, nitakutia ndoana katika mataya yako, na kuamuru samaki wakwame katika magamba yako. Nitakuvua kutoka huko ndani ya muto.


Nimesikia jinsi unavyojivuna na kusema maneno mengi juu yangu.


Mimi nitakugeuza na kukutia ndoana katika mataya yako, na kukutoa inje wewe pamoja na kundi lako lote la waaskari: farasi na waaskari wapanda-farasi na kundi kubwa la watu wanaovaa nguo za vita, ngao kubwa na ndogo katika mikono pamoja na mapanga yao.


Bwana wetu Yawe Mutakatifu ameapa: Siku zinakuja ambapo watu watawakokota kwa ndoana kubwa, kila mumoja wenu kama samaki kwenye ndoana.


Basi Pilato alipoona kwamba hataweza kufanya kitu, isipokuwa tu kuongeza fujo, akatwaa maji na kunawa mikono yake mbele ya watu wote, akisema: “Lazima ya damu ya mutu huyu isikuwe juu ya kichwa changu! Maneno haya yanawaangukia.”


Makutano walimusikiliza Paulo mpaka aliposema maneno yale. Kisha wakasema kwa nguvu: “Mumuteketeze mutu huyu! Mumwue, kwa maana hastahili kuishi!”


Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia: “Saulo, Saulo, sababu gani unanitesa?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ