Isaya 37:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Ee Yawe, ni kweli kwamba wafalme wa Asuria wameangamiza mataifa yote na inchi zao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Basi, Mungu wa Israeli akasukuma roho ya Puli, mufalme wa Asuria, (ambaye alijulikana vilevile kwa jina la Tiglati-Pileseri), akashambulia inchi yao na kuwapeleka watu wa kabila la Rubeni, la Gadi na nusu ya kabila la Manase kwa upande wa mashariki mpaka uhamisho kule Hala, Habori na Hara, pembeni ya muto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.