Isaya 36:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
10 Zaidi ya hayo, munafikiri nimekuja bila amri ya Yawe kwa kuishambulia na kuiangamiza inchi hii? Yawe ndiye aliyeniambia: ‘Ushambulie inchi hii na kuiangamiza!’ ”
Yule muzee wa Beteli akamwambia: “Mimi vilevile ni nabii kama wewe, na Yawe amesema nami kwa njia ya malaika akisema: ‘Umurudishe kwako, akule chakula na kunywa maji.’ ” Lakini yule nabii muzee alikuwa anamudanganya tu.
Hata wale manabii wengine wote wakatabiri vile vile, wakasema: “Kwenda uushambulie muji wa Ramoti-Gileadi, utashinda! Yawe atautia katika mikono yako.”
Zaidi ya hayo, munafikiri nimekuja bila amri ya Yawe kwa kuishambulia na kuiangamiza inchi hii? Yawe ndiye aliyeniambia: Uishambulie inchi hii na kuiangamiza!”
lakini mufalme Neko akamutumia ujumbe akisema: “Vita hivi havikuelekei wewe hata kidogo, ewe mufalme wa Yuda. Sikukuja kupigana nawe lakini na waadui zangu, na Mungu ameniamuru niharakishe. Acha basi kumupinga Mungu, ambaye yuko upande wangu, kama sivyo atakuangamiza.”
Lakini, ninakujua wewe Saniharibu; ninajua wakati unaikaa, wakati unatoka, na wakati unaingia; ninajua vilevile wakati kasirani yako inawaka juu yangu.