Isaya 35:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Muimarishe mikono zaifu, mukaze magoti yanayoregea. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini kisha muda, mikono ya Musa ikachoka. Kwa hiyo Haruni na Huri wakatwaa jiwe wakaliweka karibu na Musa naye akaikaa. Kisha wakaishika na kuiinua mikono yake. Mumoja akauinua mukono wa kuume na mwingine mukono wa kushoto. Hivyo mikono ya Musa ikabaki imara ikiwa imeinuliwa juu mpaka jua lilipotua.