Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 34:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Inchi itaitwa Inchi bila Mufalme; wakubwa wake wote wametoweka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 34:12
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yeye anawashusha wakubwa wenye nguvu, anawafanya watawala wa dunia kuwa si kitu.


Hakika, ninyi si kitu kabisa. Hamuwezi kufanya kitu chochote. Anayechagua kuwaabudu ninyi ni chukizo.


ambavyo Nebukadneza, mufalme wa Babeli, hakuvichukua wakati alipowapeleka Yekonia mwana wa Yoyakimu, mufalme wa Yuda na waheshimiwa wote wa Yuda na Yerusalema kwenda katika uhamisho.


Kulekule Ribla, mufalme wa Babeli aliwaua wana wa Zedekia mbele ya baba yao. Waliwaua vilevile wakubwa wote wa Yuda.


Hata nikiwa na zawadi ya kutabiri, na uwezo wa kujua mafumbo yote na maarifa yote; hata nikiwa na imani kubwa inayoweza kuhamisha milima; lakini kama sina upendo, mimi ni kitu bure.


Basi kuelekea lile ulizo juu ya kula nyama za kutambikiwa kwa sanamu za miungu, tunajua kwamba sanamu ni kitu bure katika dunia, na ya kuwa kuna Mungu mumoja peke yake tu.


Ninasema kama mupumbafu, lakini ni ninyi ndio mumenilazimisha kufanya vile. Kufuatana na ile, ningepaswa kusifiwa nanyi. Kwa maana hata kama mimi si kitu, wale mitume wenu wanaohesabiwa kuwa wakubwa hawanipiti kitu kabisa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ