Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 33:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Mutu wa namna hiyo anaishi kwenye nafasi ya juu, pahali salama, penye pango na mawe makubwa; atapewa chakula chake siku zote, na maji yake ya kunywa hayatakosekana.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 33:16
27 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Elia alipoangalia, akaona mukate uliokaangwa juu ya makaa, na chupa ya maji karibu na kichwa chake. Basi, akakula, akakunywa na akalala tena.


Lakini aliwaokoa wakosefu katika taabu zao, akaongeza jamaa zao kama kundi la kondoo.


Anawapa chakula wenye kumwabudu; hasahau hata kidogo agano lake.


Zaburi ya Daudi. Ee Yawe, nani atakayekaa katika hema yako? Nani atakayeishi juu ya mulima wako mutakatifu?


Ni Mungu ambaye ananipatia nguvu, na kuifanya salama njia yangu.


Yawe anawaangalia wale wanaomwabudu, watu ambao wanatumainia wema wake.


Mumwabudu Yawe, enyi watakatifu wake, maana wenye kumwabudu hawakosewi kitu.


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Yeye peke yake ndiye kikingio na wokovu wangu, yeye ni kimbilio langu, sitatikisika.


Maombi ya Musa, mutu wa Mungu. Ee Bwana, tangia vizazi vyote, wewe umekuwa usalama wetu.


Mungu anasema: “Nitamwokoa yule anayenipenda; nitamulinda anayejua jina langu!


Lakini mutu anayenisikiliza atakaa salama, atatulia bila kuogopa mabaya.”


Anayeishi kwa ukamilifu anaishi salama, lakini anayepotosha maisha yake atagunduliwa.


Jina la Yawe ni munara imara; mwenye haki anaukimbilia na kuwa salama.


Maana wewe umekuwa kimbilio kwa wazaifu, pango kwa wakosefu katika taabu zao. Wewe ni kimbilio wakati wa zoruba, kivuli wakati wa joto kali. Kweli pigo la watu wakali ni kali kama zoruba inayopiga ukuta;


Ingawa Bwana atawakulisha chakula cha taabu na kuwakunywesha maji ya mateso, yeye ndiye Mwalimu wenu na hatajificha tena; nanyi mutamwona kwa macho yenu wenyewe.


Watu wangu watakaa katika makao ya amani, katika pahali penye usalama na nafasi yenye utulivu.


Hawatasikia tena njaa wala kuwa na kiu. Upepo wenye kuunguza wala jua havitawachoma, mimi niliyewahurumia nitawaongoza na kuwapeleka kwenye chemichemi za maji.


utapata furaha yako kwangu mimi Yawe, nitakupatia ushindi katika kila upinzani katika inchi, nitakulisha mali ya Yakobo, babu yako. Maneno haya yanatoka katika kinywa cha Yawe.


Basi, mufalme Zedekia akatoa amri Yeremia awekwe katika chumba cha walinzi na kupewa mukate kila siku kutoka kwa wapikaji wa mukate mpaka mikate ilipotoweka kabisa huko katika muji. Basi, Yeremia alibaki katika chumba cha walinzi.


Bwana, Yawe ndiye nguvu yangu, anaimarisha miguu yangu kama ya paa, ananiwezesha kupita juu katika milima. Kwa mwimbishaji: pamoja na ala za muziki wa nyuzi.


Heri yenu ninyi Waisraeli. Nani anayekuwa kama ninyi, watu muliookolewa na Yawe, ambaye ndiye ngao ya musaada wenu, na upanga unaowaletea ushindi! Waadui zenu watakuja wananyenyekea mbele yenu, nanyi mutawakanyaga chini.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ