Isaya 32:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Wapumbafu wanasema maneno ya upumbafu, na mafikiri yao ni kutenda maovu, kutenda mambo ya watu wasiomujua Mungu, kusema maneno ya kumutukana Yawe. Wanawaacha wenye njaa bila chakula, na wenye kiu wanawanyima kinywaji. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |