Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 30:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Lakini ulinzi wa Mufalme wa Misri utakuwa haya yenu, na kujificha katika inchi ya Misri kutakuwa fezeha yenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 30:3
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Angalia sasa. Unategemea Misri, utete uliovunjika ambao utamuchoma mukono mutu yeyote atakayeutegemea. Hivi ndivyo mufalme wa Misri anavyokuwa kwa wote wale wanaomutegemea.


Ee Mungu, umetuacha kabisa? Wewe hauendi tena na makundi yetu ya waaskari!


Kumutegemea mutu asiyeaminiwa wakati wa taabu, ni kama kutegemea jino zaifu au muguu ulioteguka.


Kisha wote waliotegemea Kushi na kujivunia Misri watajuta na kufazaika.


Wakati huo, wakaaji wa kandokando watasema: Muangalie yaliyowapata watu tuliowategemea na kuwakimbilia kuomba musaada watuokoe na mufalme wa Asuria! Na sasa, sisi tutaweza namna gani kupona?


Angalia sasa. Unategemea Misri, utete uliovunjika ambao utamuchoma mukono yeyote atakayeuegemea. Hivi ndivyo mufalme wa Misri anavyokuwa kwa wote wale wanaomutegemea.


Kwa nini unaniachilia hivi, ukibadilishabadilisha mwenendo wako? Utafezeheshwa na Misri kama ulivyofezeheshwa na Asuria.


Maana Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Kama vile hasira yangu na kasirani yangu ilivyowapata wakaaji wa Yerusalema, ndivyo kasirani yangu itakavyowapata ninyi, kama mutakwenda Misri. Mutakuwa kitu cha kutukaniwa, kitisho, laana na haya. Hamutaona tena nafasi hii.


Basi, mujue hakika kwamba mutauawa kwa vita, kwa njaa na kwa ugonjwa mukali katika inchi ile munayotaka kwenda kukaa ndani yake.


Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli, alisema: Mimi nitamwazibu Amoni mungu wa muji wa Tebesi, nitaiazibu Misri na miungu yake na wafalme wake, nitamwazibu Mufalme wa Misri na wote wanaomutegemea.


Walipokushika kwa mukono, ulivunjika na kutegua mabega yao. Walipokuegemea ulivunjika na kutetemesha viungo vyao.


Sanamu hiyo itapelekwa Asuria, kama zawadi kwa mufalme mukubwa. Watu wa Efuraimu watafezeheka, Waisraeli watapata haya kwa ajili ya sanamu yao.


Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Kila mutu anayemwamini hatapata haya.”


Nalo tumaini hili si la udanganyifu, kwa sababu Mungu amemimia upendo wake ndani ya mioyo yetu kwa njia ya Roho Mutakatifu aliyetupatia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ