Isaya 30:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Tena mwezi utawaka kama jua, nao mwangaza wa jua utakuwa mara saba ya mwangaza wake wa kawaida, sawa vile kwamba mwangaza wa siku saba umeangaza katika siku moja. Mambo haya yote yatatukia wakati Yawe atakapofunga vidonda na kuponyesha mapigo aliyowaletea watu wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |