20 vitambaa vya kichwa, mikufu, mikaba iliyosokotwa, hirizi na mikufu ya kuleta bahati,
Basi, wakamupa Yakobo sanamu zote za miungu ya kigeni walizokuwa nazo pamoja na pete walizokuwa wamevaa kwa masikio. Na Yakobo akavizika chini ya muti wa mwalo uliokuwa karibu na Sekemu.
Utawatengenezea wana wa Haruni kanzu, mikaba na kofia kusudi waonekane wana utukufu na uzuri.
Haruni akawajibu: Mutwae pete za zahabu za masikio ya wake zenu, wana wenu na wabinti zenu, muniletee.
kitambaa cha kitani safi, kofia za kitani safi, makapitula za kitani safi iliyosokotwa,
pete za masikio, vikomo na vitambaa vya ushungi,
Muambie mufalme na malkia mama yake hivi: Mushuke toka kwenye viti vyenu vya kifalme, maana taji zenu nzuri zimeanguka toka juu ya vichwa vyenu.
Nikakutia pete kwenye pua, visikio kwenye masikio yako na juu ya kichwa chako nikakupamba kwa taji nzuri.
Watavaa vitambaa vya kitani kwenye vichwa vyao, na makapitula za kitani katika viuno vyao; lakini bila mukaba wowote kwa kuepuka jasho.
Nitakomesha furaha zake zote, sikukuu zake za mwandamo wa mwezi na za Sabato, na sikukuu zote zilizoamriwa.