Isaya 29:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Mataifa yote yanayoshambulia Yerusalema yatakuwa kama mutu mwenye njaa anayeota ndoto kwamba anakula lakini anaamuka angali bado na njaa, na kama mutu mwenye kiu anayeota kwamba anakunywa lakini anaamuka muzaifu, na angali bado na kiu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |