Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 29:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mimi nitapanga kundi la waaskari juu ya Yerusalema, nami nitauzunguka na kuushambulia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 29:3
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha mufalme wa Asuria alimutuma majemadari wakubwa watatu pamoja na kundi kubwa la waaskari kutoka Lakisi kwenda kwa mufalme Hezekia kule Yerusalema. Walisafiri na kufika Yerusalema. Nao walipofika waliingia na kusimama karibu na mufereji wa kisima kinachokuwa upande wa juu katika barabara kubwa inayoelekea kiwanja cha mufuaji wa nguo.


“Yawe anasema hivi juu ya mufalme wa Asuria: Hataingia katika muji huu, wala kuupiga mushale, wala kuingia akishika ngao, wala hatalundika udongo kandokando yake apate kuubomoa.


Sayuni umeachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kibanda cha mulinzi katika shamba la maboga, kama muji uliozungukwa kwa vita.


Nami nitapiga mikono, kasirani yangu itatosheka. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.


Halafu mufalme akakasirika. Akawatuma waaskari wake kuwaua wale wauaji na kuteketeza muji wao kwa moto.


Munaweza kukata tu miti mingine kwa kuitumia kwa kujenga ngazi za kupandia ndani ya muji munaoshambulia mpaka uanguke.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ