8 Meza zote zimejaa matapiko, hakuna pahali popote palipo safi.
Mupumbafu anayerudiliarudilia upumbafu wake ni kama imbwa anayekula matapiko yake.
Lakini ninyi mukafurahi na kusherehekea. Mulichinja ngombe na kondoo, mukakula nyama na kunywa divai. Ninyi mulisema: Acha tukule na kunywa maana kesho tutakufa.
Mumuleweshe Moabu kwa sababu alijitukuza juu yangu mimi Yawe. Moabu atagaagaa katika matapiko yake na watu watamuchekelea.