Isaya 28:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Lakini kuna wengine waliolewa divai na kuyumbayumba kwa sababu ya pombe kali; makuhani na manabii wamelewa pombe kali, wamevurugika kwa divai. Wanayumbayumba kwa pombe kali; maono yao yamepotoka, wanajikwaa katika kutoa hukumu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |