Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 28:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Mutu huyo anajua kufanya vile, kwa sababu Mungu wake anamufundisha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 28:26
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini ile roho inayokuwa ndani ya mutu, ile pumzi ya Mungu Mwenye Uwezo, ndiyo inayomwezesha mwanadamu kufahamu.


anayetuelimisha kuliko nyama, na kutufanya wenye hekima kuliko ndege!”


kwa sababu nilimufanya asahau hekima yake, wala sikumupa sehemu yoyote ya akili.


Zaburi ya Daudi. Atukuzwe Yawe, yeye ni: nguvu yangu, yule anayeizoeza mikono yangu kupigana vita na kuvifundisha vidole vyangu kugombana,


Mwenye kuonya mataifa, yeye hawezi kuazibu? Mwenye kufundisha wanadamu, yeye hana akili?


Uwaagize wafundi wote ambao nimewapa maarifa wamutengenezee Haruni nguo kusudi atakaswe kwa ajili ya kazi ya ukuhani.


Musa akamwita Bezaleli na Oholiabu na kila mutu ambaye alikuwa amejaliwa ujuzi na Yawe na kila mutu ambaye moyo wake ulimusukuma kufanya kazi kwa nia nzuri.


Hapana! Akisha kusawanisha shamba lake, anapanda mbegu za kunde na mbegu za vikolezo, anapanda ngano na shayiri kwa mustari, na kwenye mipaka ya shamba mimea mingine.


Kunde haipepetwi kwa chombo kikali wala mbegu za vikolezo kwa gari! Lakini kunde zinapepetwa kwa fimbo na mbegu za vikolezo kwa kijiti.


Wao wananichekelea na kuuliza: Huyu nabii anataka kufundisha nani? Anazani atatuelezea sisi ujumbe wake? Sisi ni watoto wachanga walioachishwa kunyonya juzijuzi?


Mungu aliwajalia vijana wale wane maarifa na ujuzi katika elimu na hekima. Zaidi ya hayo, alimujalia Danieli ufahamu wa kufasiria maono na ndoto.


Kila zawadi nzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu kwa Mungu Baba aliyeumba miangaza yote inayokuwa katika mbingu. Mungu hawezi kubadilika wala kugeuka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ