11 Basi! Yawe ataongea na watu hawa kwa njia ya watu wa luga tofauti wanaoongea luga ngeni.
Hamutawaona tena watu wale wenye kiburi, wanaozungumuza luga isiyoeleweka.
Na kwa ngambo yenu ninyi watu wa Israeli, ninaleta taifa moja kutoka mbali kuwashambulia. –Ni ujumbe wa Yawe.– Hili taifa haliwezi kushindwa, ni taifa la zamani, ni taifa ambalo hamufahamu luga yake. Hamuwezi kuelewa hata neno wanalolisema.
Mimi sikutumi kwa taifa lenye luga ya kigeni na lenye usemi mugumu, lakini kwa Waisraeli.
Imeandikwa katika Sheria: “Bwana anasema: ‘Nitasema na watu hawa kwa njia ya wageni wenye luga ngeni Na hata hivi hawatanisikiliza.’ ”
“Yawe ataleta kutoka mbali taifa moja liwashambulie mbio kama tai, taifa ambalo hamujui luga yake.