2 Siku hiyo, muimbe juu ya shamba zuri la mizabibu:
Lakini mimi nilikupanda kama mizabibu uliochaguliwa, muzabibu wenye afya na wa mbegu safi. Mbona basi umeharibika, umegeuka kuwa muzabibu wa bure wa pori?
Hapo Waisraeli wakaimba wimbo huu: Bubujika maji, ee kisima! Muimbe!