Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 26:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Moyo wangu unakutamani usiku kucha, nafsi yangu inakutafuta kwa moyo. Utakapohukumu dunia, watu wote katika ulimwengu watajifunza haki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 26:9
28 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yeye Yawe, ndiye Mungu wetu; hukumu zake zina nguvu katika dunia yote.


Yeye ndiye Yawe, Mungu wetu; hukumu zake zina nguvu katika dunia yote.


Usiku ninakukumbuka, ee Yawe, na kushika sheria yako.


Usiku kati ninaamuka kwa kukusifu, kwa sababu ya maamuzi yako ya haki.


Ninamungojea Yawe kuliko vile wazamu wanavyongojea mapambazuko, ndiyo, kuliko vile wazamu wanavyongojea mapambazuko.


Watu wa haki watafurahi wanapoona waovu wanaazibiwa; watatembea katika damu ya watu wabaya.


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Nitakushukuru maisha yangu yote, nitakuomba nikikuinulia mikono yangu.


Atawaangamiza kwa sababu ya maneno yao; kila atakayewaona atatikisa kichwa.


Kila mara alipowaua, waliobaki walimugeukia; wakageuka toka ubaya wao, wakamugeukia Mungu kwa moyo.


Wafezeheke na kuhangaika milele, waangamie kwa haya kabisa.


Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.


Hivi ndivyo uovu wa wazao wa Yakobo utakavyoondolewa, hivi ndivyo zambi yake itakavyofutwa kabisa: ataziharibu mazabahu za miungu; mawe yake yatasagwasagwa kama chokaa. Sanamu za Ashera wala mazabahu za kufukizia ubani hazitabaki.


Nani kati yenu anayemwogopa Yawe? Nani anayetii maneno ya mutumishi wake? Kama kuna mutu anayetembea katika giza bila taa, amutumainie Yawe, na kumutegemea Mungu wake.


Mumutafute Yawe wakati angali anaweza kupatikana, mumwombe musaada wakati angali karibu.


Usiku kucha uamukeamuke na kulia. Umufungulie Yawe yanayokuwa ndani ya moyo wako. Umwinulie mikono yako kwa kuwaombea watoto wako, watoto wanazimia na njaa popote katika barabara.


Yawe ni muzuri kwa wanaomutegemea, kwa wote wanaomutafuta.


Utakuwa kitu cha kuzarauliwa na cha haya, mufano wa kitu cha kuchukiza kwa makabila yanayokuzunguka, wakati nitakapotimiza hukumu zangu juu yako kwa hasira na kasirani yangu kali. Ni mimi Yawe ninayasema hivyo.


Nitarudi mahali pangu na kujitenga nao mpaka watambue kosa lao na kunirudilia. Taabu zao zitawafundisha wanitafute.


Lakini ninyi mushugulikie kwanza Ufalme wa Mungu na kufuata haki mbele yake, naye atawaongezea vitu vile vyote.


Kesho yake asubui kulipokuwa kungali giza, Yesu akaamuka, akatoka katika muji na kwenda pahali penye ukiwa, kule akaanza kuomba.


Katika siku zile, Yesu akapanda juu ya kilima kwenda kuomba na kukesha usiku wote akiomba Mungu.


Na saa ile ile, kukatokea tetemeko kubwa la inchi, na sehemu moja ya kumi ya muji ikabomoka, na watu elfu saba wakakufa katika tetemeko lile. Watu waliobaki wakashikwa na hofu, nao wakamutukuza Mungu wa mbinguni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ