Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 23:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ni nani aliyepanga mambo haya juu ya Tiro, muji uliosimika wafalme, wachuuzi wake walikuwa wakubwa, wakaheshimiwa katika dunia yote?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 23:8
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana alisema: Si kweli majemadari wangu ni wafalme?


Hata kama munategemea Misri kupata magari ya vita na waaskari wapanda-farasi, hamuwezi kumurudisha nyuma mutu mumoja wa cheo cha chini sana kati ya watumishi wa bwana wangu.


Ataunyanganya utajiri wako pamoja na biashara yako. Atazibomoa kuta zako na kuziangusha nyumba zako nzuri; mawe, mbao na udongo ulivyotumia kwa kujenga nyumba hizo watavitupa katika bahari.


Wachuuzi wako waliongezeka kuliko nyota; lakini sasa wametoweka kama vile mapanzi wanavyoruka.


Muji wa Tiro umejijengea kuta kubwa, umejilundikia feza kama mavumbi, na zahabu kama takataka katika barabara.


Mwangaza wa taa hautaonekana tena ndani yako. Na hakutasikilika tena kelele la wenye kuoa au kuolewa. Itakutokea vile kwa sababu wachuuzi wako walikuwa wenye uwezo mukubwa katika dunia, nawe umewadanganya watu wote kwa njia ya vitendo vyako vya uchawi.”


Kwa sababu hiyo, kwa muda wa siku moja tu utapatwa na mapigo ya mauti, huzuni na njaa. Na zaidi ya hiyo utateketezwa kwa moto, kwa maana Bwana wetu, Mungu anayeuhukumu, ni mwenye uwezo.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ