14 Mulie enyi mashua za Tarsisi, maana kimbilio lenu limeharibiwa.
juu ya mashua yote makubwa ya Tarsisi, na juu ya mashua yote mazuri.
Ujumbe wa Mungu juu ya Tiro. Muomboleze, enyi mashua makubwa za kutoka Tarsisi. Kivuko na muji wenu vimeharibiwa. Mutapokea habari hizo mutakaporudia kutoka Kipuro.
Muomboleze enyi wenyeji wa Foinike! Mujaribu kukimbilia Tarsisi.