Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 23:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mulime sasa udongo wenu, enyi wakaaji wa Tarsisi; maana hamuna tena kivuko kwa ajili ya mashua kubwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 23:10
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anamwagia wakubwa mazarau, anawaondolea wenye uwezo nguvu yao.


Nani anayekuwa Mungu isipokuwa Yawe? Nani anayekuwa kikingio isipokuwa Mungu wetu?


Sehemu za kandokando ya Nili zitakuwa tupu. Mimea yote iliyopandwa humo itakauka na kupeperushiwa mbali na kutoweka.


Yawe ameunyoosha mukono wake juu ya bahari amezitetemesha falme; ametoa amri kuharibu makimbilio ya Kanana.


Mulie enyi mashua za Tarsisi, maana kimbilio lenu limeharibiwa.


Ni Yawe wa majeshi! Yeye ndiye aliyeyapanga haya yote. Alifanya hivyo akiharibu kiburi chao na kuwapatisha haya waheshimiwa wake.


Utukufu wote wa watu wa Sayuni umetoweka; wakubwa wake wamekuwa kama kulungu wasiokuwa na malisho. Waliwakimbia watesi wao bila nguvu.


Sasa watu wa visanga wanatetemeka kwa sababu ya kuanguka kwako; watu wa visanga katika bahari wanatishwa kwa kuanguka kwako!


na kuangusha falme na kukomesha nguvu zao. Nitayapindua magari yao ya vita na waaskari wapanda-farasi wake, nao wataanguka na kuuana wao kwa wao.


Kwa maana tulipokuwa hatuna uwezo wowote, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu kwa wakati uliopangwa.


Kwa rafla, Saulo akiwa na hofu kutokana na maneno ya Samweli, alianguka chini. Hakukuwa na nguvu zozote kwa sababu alikuwa hajakula kitu chochote kwa siku nzima, usiku na muchana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ