3 Wakubwa wenu wote walikimbia, wakakamatwa hata mbele ya kufyatua mushale mumoja. Watu wako wote waliopatikana walitekwa, ingawa walikuwa wamekimbilia mbali.
Maana wamekimbia mapanga, mapanga yaliyochomolewa, pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.
Siku hiyo, mufalme na wakubwa wataregea moyo. Makuhani watapigwa na bumbuazi, na manabii watashangaa. –Ni ujumbe wa Yawe.