Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 21:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Maana wamekimbia mapanga, mapanga yaliyochomolewa, pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 21:15
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kama swala anayewindwa, kama kondoo wasiokuwa na muchungaji, kila mumoja atajiunga na watu wake, kila mutu atakimbilia katika inchi yake.


Yeyote atakayeonekana atapigwa mukuki, atakayekamatwa atauawa kwa upanga.


Mataifa yananguruma kama ngurumo ya maji mengi, lakini Mungu atayakaripia, nayo yatakimbilia mbali. Yatafukuzwa kama maganda juu ya mulima mbele ya upepo; kama mavumbi yanayonyanyuliwa na upepo mukali.


Wakubwa wenu wote walikimbia, wakakamatwa hata mbele ya kufyatua mushale mumoja. Watu wako wote waliopatikana walitekwa, ingawa walikuwa wamekimbilia mbali.


Hapo Waasuria watauawa kwa upanga, lakini si upanga wa watu; wataangamizwa kwa upanga ambao ni zaidi ya ule wa wanadamu. Waasuria watakimbia na vijana wao watatumikishwa kazi za kitumwa.


Kwa kishindo cha sauti yako watu wanakimbia; unaposimama tu, mataifa yanatawanyika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ