14 Enyi wakaaji wa inchi ya Tema, muwape maji hao wenye kiu; muwapelekee chakula hao wakimbizi.
Hadadi, Tema, Yeturi, Nafisi na Kedema.
Misima, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Wasafiri toka Tema wanatafutatafuta, wasafiri toka Sheba wanatumainia.
Adui yako akiwa na njaa, umupe chakula; akiwa na kiu, umupe maji ya kunywa.
Lakini kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Adui yako akisikia njaa, umupe chakula; kama akisikia kiu, umupe kinywaji. Maana kwa kufanya hivi utamupatisha haya kama vile ungemubebesha makaa ya moto juu ya kichwa.”
Mukaribishane ninyi kwa ninyi pasipo kunungunika.