14 juu ya milima yote mirefu, juu ya vilima vyote vinavyoinuka juu sana;
Ewe mulima wa Basani, murefu na wenye vichwa vingi,
juu ya minara yote mirefu, juu ya kuta zote ndefu,
Wakati utakapofika ambapo waadui watauawa na minara yao kubomolewa, vijito vya maji vitatiririka kutoka kila mulima na kilima.
Kila bonde litafunikwa, kila mulima na kilima vitasawanishwa; njia zenye lukumba zitanyooshwa, nazo zenye mashimo zitalainishwa.
kuangusha vizuizo vyote watu wanavyojivunia kwa kupinga elimu ya Mungu. Tunatawala mafikiri ya watu na kuyafanya yapate kumutii Kristo.