Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 19:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Mifereji yake itatoa harufu mbaya, vijito vyake vitapunguka na kukauka. Nyasi na matete yake yataoza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 19:6
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

akaona ngombe saba wazuri na wanono wakitoka ndani ya muto na kula nyasi.


Nimechimba visima na kunywa maji ya kigeni, nilikausha vijito vya Misri kwa miguu yangu.


Nyasi zinaota tu penye tingitingi, matete yanastawi pahali panapokuwa maji.


Hata kama yamechanua na bila kukatwa, yakikosa maji yananyauka mbele ya mimea mingine.


Lakini kwa vile hakuweza kumuficha zaidi ya muda ule, akatengeneza namna ya kikapu cha mafunjo, akakipakaa namna ya kabulimbo, akamutia yule mutoto ndani. Kisha akaweka kikapu kando ya muto Nili katika majani.


Samaki wanaokuwa ndani ya muto Nili watakufa, muto wote utanuka vibaya, na Wamisri watachukia kabisa kunywa maji yake.’ ”


Kijito cha Nimurimu kimekauka; nyasi zimekauka, majani mabichi yamenyauka, hakuna chochote kinachoota hapo.


Inatuma wajumbe ambao wanasafiri ndani ya muto Nili, wamepanda ndani ya mitumbwi iliyotengenezwa na matete. Muende, enyi wajumbe wepesi, kwa taifa kubwa na hodari, la watu warefu wenye ngozi laini, wanaotisha kwa karibu na kwa mbali, taifa la watu wenye nguvu na ushindi, ambalo inchi yake imegawanywa na mito.


Nimechimba visima na kunywa maji yake, na nilikausha vijito vya Misri kwa miguu yangu.


Wewe Ninawe, ni bora kuliko Tebe, muji uliojengwa pembeni ya muto Nili? Tebe ulizungukwa na maji, bahari ilikuwa kikingio chake, maji yalikuwa ukuta wake!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ