Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 19:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Wafuma nguo watafezeheshwa, na wafanya kazi watahuzunika.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 19:10
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu alipokwenda kwao asubui na kuwaona, wote wawili walikuwa wenye wasiwasi.


Kama misingi ikiharibiwa, mutu wa haki atafanya nini?”


Yawe akamwambia Musa: “Umwambie Haruni atwae fimbo yake na kuiinua juu ya maji ya Misri, juu ya mito yote, mifereji, visima na maji yao yote, nayo yatakuwa damu. Kutakuwa damu katika inchi yote, na hata katika vyombo vyote vya muti na vya mawe.”


Musa akamujibu mufalme wa Misri: “Basi! Unaweza kutaja wakati unaotaka nikuombee kwa Mungu, niwaombee wakubwa wako na watu wako. Nitamwomba awaangamize vyura hawa wanaokuwa katika nyumba zenu. Watabaki tu katika muto Nili!”


Inchi munayokwenda kurizi si kama inchi ya Misri mulikotoka, ambako mulipanda ngano nanyi mulipaswa kuleta maji kutoka kwenye mito kwa kuimwangilia kama vile mulivyofanya kwa mashamba ya mboga.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ