Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 14:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Mwaka mufalme Ahazi alipokufa, Mungu alitoa ujumbe huu:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 14:28
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ahazi akakufa na kuzikwa katika makaburi ya kifalme katika muji wa Daudi, naye mwana wake Hezekia akatawala kwa pahali pake.


Na katika kila muji wa Yuda, akatengeneza pahali pa kufukizia ubani kwa miungu mingine. Kwa kutenda hivyo, akamukasirikisha Yawe, Mungu wa babu zake.


Mufalme Ahazi alikufa na kuzikwa katika muji wa Yerusalema, lakini si katika makaburi ya wafalme wa Israeli. Na Hezekia mwana wake, akatawala pahali pake.


Haya ni maono, ambayo nabii Isaya mwana wa Amozi, aliyofunuliwa na Mungu juu ya inchi ya Babeli:


Katika mwaka mufalme Uzia alipokufa, nilimwona Bwana katika maono akiikaa katika kiti cha kifalme kinachoinuka juu sana. Pindo la nguo yake lilienea katika hekalu lote,


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Kwa sababu Wafilistini walifanya kisasi, wakawalipiza kisasi waadui zao kwa ubaya sana na kuendelea kuwa waadui zao siku zote,


Muji wa Askeloni utaona hayo na kuogopa, nao muji wa Gaza utagaagaa kwa uchungu; hata Ekroni, maana tumaini lake litatoweka. Gaza utapoteza mufalme wake, nao Askeloni hautakaliwa na watu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ