Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 14:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Wafalme wote wa mataifa wamezikwa kwa heshima kila mumoja ndani ya kaburi lake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 14:18
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu walikwenda kumuzika lakini hawakuona chochote isipokuwa mufupa wa kichwa na mifupa ya mikono na miguu.


Wakamuzika katika muji wa Daudi, kwenye makaburi ya wafalme kwa kuonyesha heshima yao kwake kwa sababu alifanya mema katika Israeli na mbele ya Mungu na nyumba yake.


Waadui walipoondoka, wakamwacha akiwa ameumizwa vibaya sana, wakubwa wake wakamufanyia shauri baya, wakamwua juu ya kitanda chake, kwa kulipiza kisasi cha mauaji ya mwana wa kuhani Yoyada. Alizikwa katika muji wa Daudi, lakini si kwenye makaburi ya wafalme.


pamoja na wafalme na watawala wa dunia waliojijengea upya miji kutoka mabomoko,


Kweli! Ninajua utanipeleka tu katika kifo, pahali wote wanaoishi watakapokutana.


watu wanaogopa mupando na kutishwa katika njia, muti wa lozi unachanua maua yake meupe, mapanzi hayawezi kuruka, hakuna hamu tena, mwanadamu anaelekea kwenye makao yake ya milele, waombolezaji wanasambaa katika njia,


Mutu akiweza kuzaa watoto mia moja, na akiishi maisha marefu, lakini kama mutu huyo hafurahii maisha yake, wala hafanyiwi mazishi, basi ninasema mutoto aliyezaliwa amekufa ni afazali kuliko mutu yule.


aliyegeuza dunia kuwa kama jangwa, akaangamiza miji yake, na kukataa kuwafungua wafungwa wake?


Lakini wewe umetupwa inje ya kaburi lako, kama mutoto wa kuchukiza aliyezaliwa mufu, kama maiti ambayo imekanyagwakanyagwa. Umelundikiwa maiti za waliouawa kwa upanga, waliotupwa ndani ya mashimo penye mawe.


Una haki gani kuwa huku? Una ndugu yeyote hapa, hata ukajichongea kaburi ndani ya jiwe juu ya mulima?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ