Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 14:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Watakaokuona watakutonolea macho, watakushangaa wakisema: Huyu ndiye aliyetetemesha dunia na kuzitikisa falme,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 14:16
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo Mungu atakuangamiza milele, atakunyanyua na kukuondoa katika nyumba yako; atakuongoa katika inchi ya wenye kuishi.


Atawaangamiza kwa sababu ya maneno yao; kila atakayewaona atatikisa kichwa.


Lakini umeporomoshwa mpaka kuzimu; umeshushwa chini kabisa ndani ya shimo.


aliyegeuza dunia kuwa kama jangwa, akaangamiza miji yake, na kukataa kuwafungua wafungwa wake?


Jinsi gani huo muji uliokuwa nyundo iliyoponda dunia nzima unavyoangushwa chini na kuvunjika! Babeli umekuwa pori tupu kati ya mataifa!


Makaburi yao yako sehemu za chini kabisa katika shimo kwa wafu. Waaskari wao wanaizunguka. Wote waliuawa katika vita. Walipokuwa wangali wanaishi, walieneza vitisho vyao katika inchi ya wanaokuwa wazima.


Hawakuzikwa pamoja na mashujaa wa zamani, ambao walikwenda katika kuzimu kwa wafu wakiwa na silaha zao, mapanga yao chini ya vichwa vyao na ngao zao juu ya miili yao. Mashujaa hao walipokuwa wangali wanaishi walijaza vitisho vyao katika inchi ya wanaokuwa wazima.


Nitakutupia uchafu, na kukuzaraulisha, na kukufanya kuwa mushangao kwa watu.


Wanawachekelea wafalme, na kuwazarau watawala. Kila kuta kwao ni muzaha, wanailundikia udongo na kuiteka.


Hawataacha hata kidogo kuvuta upinde wao? Wataendelea tu kuwanasa watu, na kuyaangamiza mataifa bila huruma?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ