Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 13:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Watoto wao wachanga watapondwapondwa mbele yao, watanyanganywa nyumba zao, na watalala na wake zao kwa kinguvu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 13:16
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mishale yao itawaua vijana, hawatarehemu watoto, wala kuwahurumia watoto wachanga.


Mujitayarishe kuwachinja watoto wake kwa sababu ya makosa ya baba zao, wasipate kuamuka na kukamata inchi, na kuijaza dunia yote miji yao.


Haya yote mawili yatakupata kwa rafla katika siku moja: kupoteza watoto wako na kuwa mujane, ijapokuwa una wingi wa uchawi wako, na nguvu nyingi za uganga wako.


Ninakutumia kwa kuwaponda wanaume na wanawake, wazee na vijana, vijana wanaume na wabinti.


Wanawake wetu wanatendewa kwa kinguvu katika Sayuni, na wabinti wetu katika miji ya Yuda.


Kwa hiyo fujo ya vita itawafikia watu wako, kuta zako zote zitaharibiwa. Kama vile mufalme Salmani alivyoharibu Beti-Arbeli katika vita, wamama wakapondwa pamoja na watoto wao.


Hata hivyo, ulikamatwa mateka, watu wake wakapelekwa katika uhamisho. Hata watoto wake walipondwapondwa katika maingilio ya kila barabara; watu wake wenye heshima waligawanywa kwa kuwapigia kura, wakubwa wake wote walifungwa minyororo.


Yawe atayakusanya mataifa yote kwa kuushambulia Yerusalema. Muji utakamatwa, nyumba zenu zitatekwa, na wanawake wenu watakamatwa kwa kinguvu. Nusu ya wakaaji wa muji watapelekwa katika uhamisho, lakini nusu itakayobaki haitaondoshwa inje ya muji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ