15 Yeyote atakayeonekana atapigwa mukuki, atakayekamatwa atauawa kwa upanga.
Maana wamekimbia mapanga, mapanga yaliyochomolewa, pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.
Nimefungua gala yangu ya silaha, nikatoa humo silaha za kasirani yangu, maana mimi Bwana wa wote, Yawe wa majeshi, nina kazi ya kufanya katika inchi ya Wakaldea.
Muwaue waaskari wake hodari; muache washukie kwenye machinjo. Ole kwao, maana siku yao imetimia, wakati wao wa kuazibiwa umefika!
Ninakutumia kwa kuwaponda wanaume na wanawake, wazee na vijana, vijana wanaume na wabinti.