Isaya 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Hakuna! Mutajikunja tu kati ya wafungwa na kuangamia pamoja na wanaouawa katika vita. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Na kama wakikuuliza: Tutaenda wapi? Wewe utawajibu kwamba: Yawe anasema hivi: Walioandikiwa kufa kwa ugonjwa mukali, watakufa kwa ugonjwa mukali, walioandikiwa kufa kwa vita, watakufa kwa vita, walioandikwa kufa kwa njaa, watakufa kwa njaa; nao walioandikiwa kupelekwa katika utumwa, watapelekwa katika utumwa.