31 Watu wa Madimena wamekimbia, wakaaji wa Gebimu wanatafuta makimbilio.
Enyi watu wa Galimu, mupige kelele! Enyi watu wa Laisi, mutege sikio! Enyi wenyeji wa Anatoti, mujibu!
Leo hii, adui atapiga kambi kule Noba, anainua mukono wake kwa mulima Sayuni, kilima cha Yerusalema.