Isaya 10:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Yawe wa majeshi atainua fimbo yake kama vile alivyowapiga Wamidiani kwenye jiwe la Orebu. Atanyoosha fimbo yake juu ya bahari kama vile alivyowafanyia Wamisri. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Wakatwaa mateka viongozi wawili wa Midiani, majina yao ni Kibombobombo na Imbwa-wa-Pori. Wakamwua Kibombobombo juu ya jiwe la Kibombobombo, naye Imbwa-wa-Pori wakamwua katika kikamulio cha Imbwa-wa-Pori wakiwa wanawafuatilia Wamidiani. Wakamuletea Gideoni vichwa vya Kibombobombo na Imbwa-wa-Pori, ngambo ya muto Yordani.