Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 10:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Kama mutu anayenyoosha mukono kwenye chicha, ndivyo nilivyokamata mali ya mataifa; kama mutu anayeokota mayai yaliyoachwa ndani ya chicha, ndivyo nilivyoyaokota katika dunia yote. Watu wote walikuwa sawa ndege ambaye hapigi mabawa au kufungua midomo kwa kupiga kelele. Lakini Yawe anasema hivi:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 10:14
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hamujui yale yote ambayo mimi na babu zangu tumewatendea watu wote wa inchi zingine? Miungu ya watu wa inchi hizo iliweza kukomboa inchi zao toka mikono yangu?


sikupata kufurahia wingi wa utajiri wangu au kujivunia mapato mengi ya mikono yangu.


Majivuno ya ndani ya moyo yanaleta maangamizi, lakini unyenyekevu unaleta heshima.


ambayo walipiga nayo watu kwa hasira bila kukoma, na kuwatawala kwa kuwatesa bila huruma.


Nimechimba visima na kunywa maji yake, na nilikausha vijito vya Misri kwa miguu yangu.


Ole kwao wanaoongeza nyumba juu ya nyumba, wanaoongeza mashamba juu ya mashamba yao, mpaka kila sehemu inakuwa mali yao, na hakuna nafasi kwa wengine katika inchi.


Vitisho unavyotoa na kiburi chako vimekudanganya, ewe unayekaa katika mapango ya mawe, unayeishi juu ya kilele cha mulima! Ingawa unaweka makao yako juu kama ya tai, mimi nitakuporomosha kutoka huko unakokuwa. –Ni ujumbe wa Yawe.


Nimesikia jinsi unavyojivuna na kusema maneno mengi juu yangu.


Hata ukiruka juu kama tai, ukifanya makao yako kati ya nyota, mimi nitakushusha chini tu. –Ni ujumbe wa Yawe.


Muji Ninawe ni kama birika lililobomoka, watu wake wanaukimbia ovyo. Musimame! Musimame! Sauti inaita, lakini hakuna anayerudi nyuma.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ