Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Isaya 10:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Nimepata kuunyoosha mukono wangu juu ya falme zenye sanamu za miungu kubwa kuliko sanamu za Yerusalema na Samaria.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Isaya 10:10
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakasema juu ya Mungu wa Yerusalema kama vile wangesema juu ya miungu ya mataifa mengine ambayo ni sanamu tu zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.


Mufalme anamutumainia Yawe; kwa wema wa Mungu Mukubwa atakuwa salama.


Kama mutu anayenyoosha mukono kwenye chicha, ndivyo nilivyokamata mali ya mataifa; kama mutu anayeokota mayai yaliyoachwa ndani ya chicha, ndivyo nilivyoyaokota katika dunia yote. Watu wote walikuwa sawa ndege ambaye hapigi mabawa au kufungua midomo kwa kupiga kelele. Lakini Yawe anasema hivi:


Walitupa miungu yao katika moto kwa sababu haikukuwa miungu ya kweli, lakini sanamu za miti na mawe zilizochongwa na mikono ya watu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ