Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hosea 8:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hosea 8:12
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini hawakukuwa waaminifu kwako. Wakakuasi, wakaacha sheria yako na kuwaua manabii waliowaonya kusudi wakurudilie wewe. Wakatenda zambi kubwa mbele yako.


Uyafungue macho yangu, nipate kuona maajabu ya sheria yako.


Wewe unachukia maonyo, na maneno yangu haupendi kuyafuata.


Nimekuandikia misemo makumi tatu, misemo ya maonyo na maarifa,


Watu hawa ni waasi, watoto wasioaminiwa; watu wasiopenda kusikia mafundisho ya Yawe.


Niliwapa masharti yangu na kuwafundisha maagizo yangu ambayo mutu akiyafuata ataishi.


Watu wangu wameangamia kwa kutonijua, maana wewe kuhani umekataa mafundisho. Nimekukataa kuwa kuhani wangu. Kwa maana umeisahau sheria ya Mungu wako, nami vilevile nitawasahau watoto wako.


Basi kuna faida gani kuwa Muyuda? Na kutahiriwa kuna mafaa gani?


Basi Sheria yenyewe ni takatifu na amri ni takatifu, ya haki na nzuri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ