Hosea 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kila mara nikitaka kurudishia watu wangu hali yao ya mbele, ninapotaka kuwaponyesha Waisraeli, uovu wa watu wa Efuraimu unafunuliwa, matendo mabaya ya Samaria yanajitokeza. Wao wanaongozwa na udanganyifu, mwizi anabomoa nyumba; inje katika barabara wanyanganyi wanashambulia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |