Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hosea 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Nimeona jambo la kuchukiza sana kati ya Waisraeli: watu wa Efuraimu wanakimbilia miungu mingine, Waisraeli wamejichafua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hosea 6:10
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Rehoboamu alizarau shauri la wazee. Pahali pa shauri lile akashauriana na vijana waliokomaa pamoja naye ambao walikuwa washauri wake.


Mambo haya yalifanyika kwa sababu Yeroboamu alimukasirikisha Yawe, Mungu wa Israeli, kwa zambi yake na kwa kuwasukuma watu wa Israeli watende zambi.


Haya yote yalitendeka kwa sababu watu wa Israeli walimwasi Yawe, Mungu wao, ambaye aliwatoa kutoka mikono ya mufalme wa Misri, vilevile waliabudu miungu mingine,


Basi, Yawe anasema hivi: Muulize habari kwa mataifa yote: Nani amekwisha kusikia jambo kama hili? Kitendo Waisraeli walichokifanya ni cha kuchukiza sana.


Lakini kati ya manabii wa Yerusalema, nimeona mambo ya kutisha zaidi: wao wanafanya uzinzi na kusema uongo; wanawaunga mukono wanaotenda maovu hata kusikuwe mutu anayeachana na uovu. Kwangu wote wamekuwa kama watu wa Sodoma; wakaaji wake wamekuwa kama watu wa Gomora.


Katika siku ya utawala wa mufalme Yosia, Yawe aliniambia hivi: Umeona jinsi yule Israeli asiyekuwa mwaminifu alivyofanya? Aliniacha, akapanda juu ya kila kilima kirefu na kwenda chini ya kila muti wenye majani mabichi, akafanya ukahaba wake kule!


Ingawa Ohola alikuwa muke wangu, lakini aliendelea kuwa muzinzi na kuwatamani wapenzi wake Waasuria.


Ohola alifanya uasherati na wale wakubwa wote wenye vyeo vya juu wa Waasuria, naye akajichafua kwa kuabudu sanamu zote kila mwanaume wake aliyetamani.


Uasherati, divai mupya na ya zamani vinaondoa maarifa.


Watu wangu wanaomba shauri kutoka kwa muti; kijiti chao cha kuaguza ndicho kinachowapa shauri. Nia ya kufanya uzinzi imewapotosha; wamefanya uzinzi kwa kufuata miungu mingine, wakaniacha mimi Mungu wao.


Watu wa Efuraimu wamejiunga na sanamu. Basi! Uwaache waendelee tu!


Ninawajua watu wa Efuraimu, Waisraeli hawakufichwa kwangu. Ninyi watu wa Efuraimu mumefanya uzinzi, watu wote wa Israeli wamejichafua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ