Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hosea 5:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Waongozi wa Yuda wamekuwa wenye kubadilisha mipaka ya inchi. Mimi nitawamwangia hasira yangu kama maji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hosea 5:10
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, kila mwaminifu akutolee maombi wakati wa taabu. Mafuriko ya maji hayatamufikia.


Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona, uikunje siku zote migongo yao.


Kasirani yako imeniwakia; mashambulio yako ya kutisha yananiangamiza.


Kuanzisha ugomvi ni kama kufungua maji ya kisima; achana na ugomvi mbele haujafurika.


Usiondoe kitambulisho cha mupaka wa zamani, ambacho kiliwekwa na babu zako.


Wakubwa wako ni waasi; wanashirikiana na wizi. Kila mumoja anapenda kituliro, na kukimbilia zawadi. Hawamupatii yatima haki yake, haki za wajane si kitu kwao.


Kama feza inavyoyeyuka katika furu, ndivyo mutakavyoyeyushwa humo katika muji. Nanyi mutatambua kwamba mimi Yawe nimeimwanga kasirani yangu juu yenu.


Sasa mutausikia uzito wa hasira yangu juu yenu. Nitawahukumu kulingana na mwenendo wenu; nitawaazibu kufuatana na machukizo yenu.


Mvua ikanyesha, mito ikajaa, upepo ukavuma na kupiga nyumba ile, nayo ikaanguka na kubomoka kabisa.”


Lakini yule anayesikia maneno yangu pasipo kuyashika, anafananishwa na mutu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila kuchimba musingi. Maji kutoka muto yakaishambulia, na mara moja ikaanguka na kubomoka kabisa.”


“Musiondoe kitambulisho cha mipaka ya wajirani zenu, ambayo iliwekwa hapo zamani katika inchi ambayo Yawe wenu anawapatia muirizi.


“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayeondoa kitambulisho cha mupaka wa mwenzake.’ Na watu wote wataitika: ‘Amina!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ