Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hosea 4:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini watu wasilaumiwe, wasishitakiwe; maana mimi ninakushitaki wewe kuhani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hosea 4:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, watu wakasema: Tuende tufanye shauri baya juu ya Yeremia, maana hatukosi makuhani wa kutufundisha. Vilevile hatukosi watu wenye hekima wa kutushauria na manabii wa kututangazia ujumbe wa Mungu! Mukuje tumushitaki kufuatana na maneno yake mwenyewe, wala tusiyatilie maana mambo yote anayosema.


Nitaufanya ulimi wako ukuwe muzito nawe utakuwa bubu kusudi usiweze kuwakaripia kwa sababu ni waasi.


Watu wa Efuraimu wamejiunga na sanamu. Basi! Uwaache waendelee tu!


Ninyi munawachukia wanaotetea haki na wenye kusema ukweli katika tribinali.


Basi, kutakuwa wakati mubaya ambao hata mwenye hekima atanyamaza.


Na mujomba wa yule aliyekufa atakapokuja kuitoa maiti inje aichome, akimwuliza yeyote atakayekuwa ndani pembeni ya nyumba: Kuna mutu mwingine pamoja nawe? Atajibiwa: Hakuna! Naye atamwambia: Nyamaza kimya! Tusilitaje hata jina la Yawe.


Naye mutu atakayetenda kwa kiburi bila kutii kuhani aliyewekwa hapo kwa kumutumikia Yawe, Mungu wenu, au mwamuzi, mutu huyo atauawa. Ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ