Hosea 4:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Lakini sitawaazibu wabinti zenu wanapofanya uzinzi, wala bibi-arusi wenu wanapofanya uasherati, maana, wanaume wenyewe ndio wanaofuatana na wazinzi, na kutambikia pamoja nao katika ibada za uzinzi. Watu hawa wenye kukosa akili hakika wataangamia! အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |