Hosea 14:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Yeyote anayekuwa na hekima aelewe mambo haya, mutu anayekuwa na akili ayatambue. Maana njia za Yawe ni zenye kunyooka; watu wa haki wanazifuata, lakini wenye zambi wanaanguka katika njia hizo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |