Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Hosea 12:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Alipigana na malaika, akamushinda; alilia machozi na kuomba ahurumiwe. Kule Beteli, alikutana na Mungu, na kusemezana naye,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Hosea 12:5
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yakobo akaamuka toka usingizi, akasema: “Hakika, Yawe yuko pahali hapa, nami sikujua!”


Halafu Yakobo akamwambia: “Tafazali, ninakuomba uniambie jina lako.” Lakini yeye akamwambia: “Kwa nini kuniuliza jina langu?” Kisha akamubariki Yakobo.


Wakati alipokuwa akirudi kutoka Padani-Aramu, Mungu akamutokea tena Yakobo na kumubariki.


Jina lako, ee Yawe, linadumu milele, utakumbukwa nyakati zote.


Ee Yawe, umeniokoa kutoka kuzimu; umenipa tena uzima, umenitoa kutoka kati ya wafu.


Uwaambie Waisraeli kwamba: Yawe, Mungu wa babu zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo, amekutuma kwao. Hili ndilo jina langu milele, na hivi ndivyo nitakavyokumbukwa katika vizazi vyote.


Jina langu mimi ni Yawe; sitamupa mwingine utukufu wangu, wala sifa zangu sanamu za miungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ