Hosea 12:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Kwa njia ya nabii, Yawe aliwatoa Waisraeli katika inchi ya Misri. Kwa njia ya nabii, Mungu aliwalinda. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini ikiwa mutu huyo ana mutoto ambaye anafanya mabaya baba yake asiyofanya, yule mutoto atakufa kama anafanya machukizo haya: ananyanganya, anaua, anakula sadaka kwenye milima, anamuchafua muke wa jirani yake, anawatendea wamasikini na wakosefu vibaya, anaiba, harudishi rehani, anaangalia sanamu za miungu na kufanya machukizo, anakopesha kwa kupata faida na kujitafutia mazidio. Hakika atakufa, na yeye mwenyewe atabeba lazima ya kifo chake.