Hosea 10:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Waisraeli walikuwa kama muzabibu muzuri, muzabibu wenye kuzaa matunda. Kadiri matunda yalivyozidi kuongezeka, ndivyo walivyozidi kujijengea mazabahu. Kadiri inchi yao ilivyozidi kustawi, ndivyo walivyozidi kupamba nguzo zao za ibada. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |