Hosea 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Gomeri alipata mimba tena, akazaa mutoto mwanamuke. Yawe akamwambia Hosea: Umupange mutoto huyo jina la “Asiyehurumiwa”, maana sitawahurumia tena Waisraeli wala sitawasamehe. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |